
Tanzanian superstar Diamond Platinumz has in the past been labeled as a ‘Diva’ by event organizers, claiming that he does have over the top demands and now word is that he is also acts as a ‘Diva’ towards his fellow artists.
Well according to Pulse during a concert held in Mombasa over the weekend the star demanded that all other artistes who had reservations in the VIP lounge, among them Susumila and Nyota Ndogo, be moved away.
There was more drama after Susumila and Nyota Ndogo were denied drinking water. They were told to look for tap water as the bottled water was only for Diamond and his crew. The act saw Mombasa artistes unite to condemn the event organizer with VJ Delph declining to deejay.
Now Diamond has denied all these claims saying that it was his haters trying to tarnish his name:-
“Nimesikitishwa Sana na habari zilizoandikwa na moja ya chombo cha habari, kuwa eti nliwanyanyasa wasanii wenzangu Nyota ndogo na Susumila, kwa kuwafukuza kwenye VIP lounge na sijui eti niliwazuia wasitumie maji ya chupa hivi inaingia akilini kweli hii!!!?? Ningependa kutumia nafasi hii kuwajulisha mashabiki zangu waliokutana na story hizo kuwa sio za kweli ni zenye lengo la kudhoofisha Mahusiano yetu mazuri ya wasanii Wa Africa mashariki..kama BigEye ya Uganda ilivyowahi kuandika habari za upotoshaji Kati yangu na Jose Chameleone..
Pia Nawasihi @Bongofive ni vyema mtambue Nafasi yenu kwenye jamii kwa sasa, Kuweni makini na baadhi ya habari mnazo post ama kureport kutoka baadhi ya mitandao, zinavunja mahusiano mazuri ya wasanii wa East Africa…kumbukeni kuna watu wana tabia ya kujudge kitu kwa kusoma kichwa cha habari tu pasipo kufuatilia undani wa habari…Yawezakuwa mwaandika kwa nia njema tu, lakini ni vyema muwe mnapata na uhakika kwanza kabla ya kuripoti, hususan story za kutengeneza chuki kama hizi….kufanya hivyo ndiyo mtasaidia kukuza industry yetu ya East Africa…”
LIZ NJUGUNA.